Mabalozi
wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki,
Yohana Lambo Mayenga pamoja na Suzane William Mollel wamekutana na
Wafunzi wa Chuo Kikuu Zanzibar kilichopo Tunguu, Ujunga visiwani
Zanzibar, kwa lengo la kutoa mafunzo na kuwahamasisha Wanafunzi wa vyuo
vikuu (Vijana) nchini kote, kuufahamu umuhimu wa Ushirikiano wa nchi za
Jumuiya ya Afrika Mashariki na kuuimarisha katika Mchakato wa Jumuiya
hiyo Kikanda, katika Warsha ya siku moja iliyofanyika katika Ukumbi wa
Chuo Kikuu hizo, Mei 21, 2018. Jumla ya Wanafunzi 410 walihudhulia
Warsha hiyo.
Mwakilishi
wa Chuo Kikuu Zanzibar, Saleh Mohammed akizungumza machache
wakati akifungua warsha ya siku moja ya mafunzo na kuwahamasisha
Wanafunzi wa vyuo vikuu (Vijana) nchini
kote, kuufahamu umuhimu wa Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki na kuuimarisha katika Mchakato wa Jumuiya hiyo Kikanda, katika
Warsha ya siku moja iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu hizo, Mei
21, 2018.
Muwakilishi
wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Kiongozi wa Mabalozi vijana
EAC, Barbara Kaboha akizungumza wakati ufunguzi wa warsha ya siku moja
ya mafunzo na kuwahamasisha Wanafunzi wa vyuo vikuu (Vijana) nchini
kote, kuufahamu umuhimu wa Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki na kuuimarisha katika Mchakato wa Jumuiya hiyo Kikanda, katika
Warsha ya siku moja iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu hizo, Mei
21, 2018.
Naibu
balozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika
Mashariki, Suzane William Mollel akitoa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu Zanzibar, na kuwahamasisha kuufahamu
umuhimu wa Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na
kuuimarisha katika Mchakato wa Jumuiya hiyo Kikanda, katika Warsha ya
siku moja iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu hizo, Mei 21, 2018.
Balozi wa vijana wanaoiwakilisha
Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Yohana Lambo Mayenga
(aliyesimama) akitoa mafunzo kwa baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu
Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...