Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akimkabidhi Rais wa Chama Cha Ukumbozi wa Afrika Kusini (ANC) Rais wa Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa barua maalum kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli, Makao Makuu ya ANC jijini Johanesburg, jana. 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa na Katibu Mkuu wa ANC Ace Magashule Makao Makuu ya ANC jijini Johanesburg. Kulia ni Mwenyekiti wa UWT Gaudentia Kabaka. 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Rais wa ANC Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, Makao Makuu ya ANC Jijini Johanesburg, jana. Kulia ni Mwenyekiti wa UWT Gaudentia Kabaka. 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa ANC Gwede Mantashe, Makao Makuu ya ANC Jijini Johanesburg. 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na Ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wakuu wa ANC, Makao Makuu ya ANC jijini Johanesburg. Katika ziara hiyo ambao Kinana ameambatana na Wenyeviti wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi, ikiwa na lengo la kuendeleza uhusiano na mshikamano uliopo baina ya Vyama hivyo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...