Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (aliyesimama) akizungumza na
wananchi wa Lugalo alipotembelea mnara wa Lugalo walipozikwa Askari 300 wa
kijerumani pamoja na kiongozi wao wakati wa ziara yake katika mkoa wa Iringa
kukagua maeneo yaliyotumika kama kambi za wanaharakati wa Urithi wa Ukombozi wa
Bara la Afrika jana Mkoani Iringa. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe.
Asia Abdala
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Asia Abdala (aliyesimama) akizungumza na wananchi wa wilaya ya Kilolo wakati wa ziara ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (kulia) katika mkoa wa Iringa kukagua maeneo yaliyotumika kama kambi za wanaharakati wa Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika jana Mkoani Iringa.
Baadhi wa wananchi wa
Kilolo wakimsikiliza Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison
Mwakyembe (hayupo pichani) wakati wa ziara yake katika mkoa wa Iringa kukagua
maeneo yaliyotumika kama kambi za wanaharakati wa Urithi wa Ukombozi wa Bara la
Afrika jana Mkoani Iringa.
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (aliyeshika mkuki) katika
picha ya pamoja na wananchi wa Lugalo alipotembelea Mnara wa Lugalo walipozikwa
Askari 300 wa kijerumani pamoja na kiongozi wao wakati wa ziara yake katika
mkoa wa Iringa kukagua maeneo yaliyotumika kama kambi za wanaharakati wa Urithi
wa Ukombozi wa Bara la Afrika jana Mkoani Iringa. Kushoto kwa waziri ni Mkuu wa
Wilaya ya Kilolo Mhe. Asia Abdala.Picha
na:
Genofeva Matemu - WHUSM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...